Utajiri wa Nay wa mitego

>


Nay wa Mitego Adai Baada ya Mwaka 1 Anaweza Akawa Tajiri Mkubwa Kuliko mtu yoyote Tanzania

www.neemayetu.blogsport. com

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Nay wa Mitego baada ya kudai kuwa utajiri wake kwa sasa ni zaidi ya bilioni 1, amedai baada ya mwaka mmoja atakuwa tajiri mkubwa kuliko mtu yoyote Tanzania. 
nay new2 

Akizungumza katika kipindi cha Weekend Chart cha Clouds TV hivi karibuni, Nay amesema kwa sasa tayari ameshaingia kwa miguu miwili katika biashara ya kilimo. 

“Mimi ni mtu ambaye naishi maisha ya ukweli na sijawai kufake, kuanzia mwezi wa sita nimeshaanza kuwekeza, nafikiri hii inaweza ikawa surprise kwa mashabiki wangu. Nimeshaanza kuwekeza katika kilimo, mimi nimeshaanza kununua eka kadhaa pengine panapo majaliwa ikifika mwakani kuna uwezokano wa kuwa tajiri mkubwa kuliko mtu yoyote,” alisema Nay. 

Nay alidai kwa sasa nje ya muziki anaingiza pesa kupitia biashara ya daladala.

VISIT SITE & COMMENTS

>


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

:)
:(
hihi
:-)
:D
=D
:-d
;(
;-(
@-)
:P
:o
:>)
(o)
:p
:-?
(p)
:-s
(m)
8-)
:-t
:-b
b-(
:-#
=p~
$-)
(y)
(f)
x-)
(k)
(h)
cheer