Singer sued for sexual harassment by former employee
Entertainment NewsAccording to the employee, Jeffrey Wenninger, the singer'touched' him on several occasions since his employment began in the year 2002, escalating with time till it became quite intense after the year 2010.
Mohamed Ali's Jicho Pevu: Tumsifu Rais Uhuru Kenyatta kwa mema
Entertainment NewsWiki iliyopita, barua yangu kwa rais Uhuru Kenyatta, Joseph Nkaissery na ndugu Nelson Marwa ilipokelewa kwa hasira na wafuasi wa watatu hawa.
Baadhi ya jumbe nilizozipokea, kando na matusi, niliguswa hasa na hisia ya mwanadada mmoja. Dada huyu alinishauri niandike mazuri aliyoyafanya Uhuru Kenyatta, sio tu kuikashifu serikali kila wakati. Baada ya kumsikiza mwanadada huyu, nimeamua kuandika mambo mawili matatu mazuri aliyoyafanya rais, na ambayo kamwe yataishi akilini mwetu.
NOLLYWOOD STAR CELEBRATES 20TH MARRIAGE ANNIVERSARY
Entertainment NewsThe couple later held a romantic white ceremony on board a dash 7 aircraft while flying from Lagos to Benin in 2001 with close family and friends present. Together they have four children, Princess, MJ, Merairah and Micheal.
Omotola has featured prominently in about 300 movies for the past two decades plus, winning more than 40 awards, while raking in an estimated $500,000 (about Sh 50 million) in appearance fees alone.
In a 2012 interview with a local Nigeria website
mjemagazine , Omotola opened up about her marriage and the lessons learnt.