Mariah Carey and James Parker
Entertainment NewsSingers wedding to billionaire fiancé James Packer postponed
NewsMan builds robot of the actress to fulfil a childhood dream
NewsRicky Ma, 42, has spent more than $50,000 (£34,000) and 18 months creating his female robot prototype, Mark 1, which has the appearance of Scarlett Johanssen
Singer sued for sexual harassment by former employee
Entertainment NewsAccording to the employee, Jeffrey Wenninger, the singer'touched' him on several occasions since his employment began in the year 2002, escalating with time till it became quite intense after the year 2010.
SHAMSA FORD 'Nilinusurika Kuaribika Ubongo na Kumpoteza Mtoto Tumboni Kutokana na Kipigo Kutoka Kwa Baba Mtoto Wangu'
News
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Shamsa alisema kuwa amenusurika kumpoteza mtoto wake akiwa tumboni kutokana na mitama aliyokuwa akipigwa na mpenzi wake huyo lakini kwa sababu alikuwa anampenda alikuwa habanduki.
“Jamani napinga vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake wenzangu kwani ilibaki kidogo niharibike ubongo kwa kipigo cha mwanaume huku nikiamini napendwa kumbe ni ujinga mtupu,” alisema Shamsa.
bifu la mwanamuziki diamond platinum na alikiba sasa ni vita ya kifamilia
Gossip News
KISIKIE CHANZO
“Hivi Wikienda mnajua kuwa kwa sasa Ali (Kiba) ameona afuate staili ya Diamond? Kwa sababu kama ninyi ni wafuatiliaji mtagundua kuwa zamani alikuwa hana mazoea ya kuanika familia yake kama ilivyo sasa.
AANISHA STAILI HIYO
“Kwa mfano ni hii staili yake mpya ya kutoka na mama, dada yake, Zabibu na sasa anatumia hata watoto kama Diamond anavyomtumia Tiffah (Latifah Nasibu).
“Hii ni staili ambayo amekuwa akiitumia Diamond ambaye huwa anapenda kutoka na Esma (Platnumz) au Queen (Darleen) na mama yao, Sandra (Sanura Kassim) kisha anamuongezea Zari
rene Uwoya Adai Anapenda Kuigiza ‘Scene’ za Mahaba
Gossip News
Muigizaji huyo ambaye alionyesha uwezo mkubwa katika filamu ya Fair Decision, Pretty Girl pamoja na Oprah, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa filamu ya Oprah ndio filamu ambayo ilimpa mume.
“Kiukweli scene za mapenzi (mahaba) nazipenda kwa kuwa nazifanya vizuri,” alisema Irene. “Kama filamu ya Oprah ndio filamu ambayo ilisababisha nikaolewa, mume wangu alinipigia simu akaniambia nimeona movie yako ya Oprah nataka nikuoe,” alifanunua zaidi.
“Lakini ni movie ambayo ilinipa wakati mgumu sana kwa familia yangu, wakiona hii movie si wataniua?. Lakini bahati nzuri baada ya baba kuiona akanipa big up na akanipa ruhusa ya kufanya movie,” aliongeza Irene.
Ishu ya Madawa ya Kulevya, Mrembo Tunda Amkingia Kifua Young D...Asema Haya
Gossip NewsIshu ya Madawa ya Kulevya, Mrembo Tunda Amkingia Kifua Young D...Asema Haya
MUUZA nyago kwenye video za Bongo Fleva, Tunda Sebastian amejikuta akimkingia kifua mwandani wake, David Genzi ‘Young D’ kutokana na kuhusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya na kudai maneno hayo ni uzushi mtupu.
Akibonga na Showbiz alisema kuwa, anawashangaa watu ambao kila kukicha wamekuwa wakimsakama kipendacho roho wake huyo kuwa ni mtumiaji mzuri wa unga, wakati yeye ndiyo anayemjua vizuri.
“Watu wanapenda sana kuzusha yasiyofaa, sasa kama mimi ndiyo mpenzi wake na sijawahi kumuona kabisa akitumia unga wala kumuhisi hivyo iweje watu wasiomfahamu kiundani wamkomalie hilo suala, hakuna kitu kama hicho, jinsi watu wanavyomfikiria ni tofauti na alivyo,” alisema
Binti Mrembo Ajinyonga Kwa Kamba Hadi Kufa..Aacha Ujumbe Mzito..Usome Hapa
NewsBinti Mrembo Ajinyonga Kwa Kamba Hadi Kufa..Aacha Ujumbe Mzito..Usome Hapa
Binti mmoja anayejulikana kwa jina la Jesca ambaye ni mfanyakazi wa Longido Mountain Lodge amekutwa amejinyonga katika hotel ya Longido Mountain Lodge akiacha ujumbe kuwa kifo chake kisihusishwe na mtu yeyote amejinyonga kwa ridhaa yake mwenyew akiacha ujumbe wa majina ya watu anao wadai walipe madeni yake kabla ya kusafirishwa kwao pamoja na namba za Mama yake mzazi.